Machapisho

HABARI: NI MAJONZI MAZISHI YA MASOGANGE BELLE 9,ANT EZEKIEL,SEPETU,JACK WALPER,JOHN MWAKIPESILE,BILL NAS WAHUDHULIA

Picha
√√ Leo ilikuwa siku ya simanzi katika jiji la mbeya Baada ya mwili wa aliyekuwa msanii wa bongo movie na video exen(video queen ) maarufu nchini AGNESS JERALD ( MASOGANGE ) kuwasili nyumbani kwao Mbalizi jijini mbeya kwaajili ya mazishi ukitokea Dar es salaam alikopatwa na umauti ijumaa week iliyopita.           Aidha katika mazishi hayo yalihudhuriwa na wasanii mbalimbali wa bongo flavour,bongo movie,Gospel pamoja na viongozi wa serikali wakiwemo BELLE 9, ANT EZEKIEL, WEMA SEPETU , JACKLINE WALPER , JOHN MWAKIPESILE ( Gospel ) Bill NASS, DOGO JANJA pia viongozi mbalimbali wa serikari wakiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya A MOSI MAKALA ,mkuu wa wilaya ya Mbeya pamoja na kamanda wa polisi Mkoa.                A GNESS GERARD WAYA AU MASOGANGE alizaliwa 1989 kata ya Utengule,Mbalizi mkoani Mbeya na alifariki 20/04/2018 katika hospital ya MAMANGOMA jijini D...

MOUREEN MWAKASITU KUZINDUA DVD KUANDIKWA KITABUNI 2018

Picha
        √√√Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini MOUREEN MWAKASITU kutoka nyanda za juu kusini MBEYA TZ anatarajia kuzindua Albamu yake ya kwanza iliyo kwenye mfumo wa DVD (video) ikijulikana kama KUANDIKWA KITABUNI .          >> Akizungumza na kituo hiki Moureen ameeleza kuwa DVD hiyo ambayo ni albam yake ya kwanza amesema kuwa kwa sasa ipo kwenye harakati za kukamilika matayarisho yake (shooting ) na itazinduliwa mwaka huu baada ya kukamilika .          Aidha Albam hiyo iliyobeba nyimbo zinazofanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa injili kama UMEBAKI WEWE , MUNGU NI MWEMA , YUPO MUNGU NA KUANDIKWA KITABUNI . Zinapatikana YouTube kwa jina la MOUREEN BOAZ MWAKASITU.kwa mihaliko au mawasiliano yake unaweza kumtafuta kwenye account yake ya Facebook kwa Moureen boaz mwakasitu   ...

MADA YA LEO

   KWA NINI WAIMBAJI WA LEO WAKIINULIWA WANAJITENGA AU KUJIGAWA NA KUONA WAIMBAJI WADOGO/CHIPKIZI SI KITU???????       ••••SEMA USIKIKE WENGINE WAELIMIKE•••••      Ni kila siku kwanzia saa tatu usiku_saa tano . TUTAKUWA NA MADA MOJA KILA SIKU KARIBU UCHANGIE TUJIFUNZE PAMOJA .       BY. J A M

GOODLUCK GOZBERT AACHIA VIDEO HAUWEZI KUSHINDANA

Picha
      √√√Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania na Afrika kiujumla GOODLUCK GOZBERT Hivi karibuni ameachia video yake mpya ya wimbo wake unaokwenda kwa jina la " HAUWEZI KUSHINDANA ".            Akizungumia video hii Goodluck ameeleza kuwa video hii iliyokwenye Albam yake ya pili iitwayo SHUKURANI ameeleza kuwa video hiyo kwa sasa inapatikana YouTube kwa jina la Goodluck gozbert ~ hauwezi kushindana   ambayo kwa sasa inafanya vizuri kwa kutazamwa na wengi zaidi.              Pia goodluck ameongeza kuwa kwa sasa Albamu yake mpya iko tayari nchi nzima ikisambazwa na MAXMALIPO ."kwa kufika ofisi zozote za max malipo nchini waweza kujipatia albamu hii "         © Goodluck gozbert : mwimbaji wa nyimbo za injili nchini aliyetambulika rasmi mwaka 2015 baada ya kutoa nyimbo...

KKKT MBEYA WAMUAGA ASKOF DK.MWAKYOLILE

Picha
    √√Leo hii kanisa la kiinjli ni kirutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde wamefanya sherehe kubwa ya kumuaga aliyekuwa Askof mkuu wa Dayosisi hiyo DR. ISRAEL MWAKYOLILE ambaye anamaliza muda wake baada ya kuongoza dayosisi hiyo kwa muda wa miaka kumi na sita.           Gospel star Newz leo hii ilifanikiwa kuhudhulia katika sherehe hiyo iliyofanyika KKKT USHARIKA WA LUANDA kabwe jijini mbeya. Katika sherehe hiyo ambayo pia alisimikwa Askofu mpya wa Dayosisi hiyo    DR.EDWARD MWAIKALI Iliongozwa na NAIBU SPIKA WA BUNGE DK . TULIA ACKSON MWANSASU  akimuwakilisha Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.JOHN MAGUFULI ambapo ilihudhuliwa na jopo la maaskofu wa kanisa hilo pamoja na wachungaji wengi kutoka ndani na nje ya mkoa wa mbeya.          ASKOFU ISRAEL MWAKYOLILE   alianza uchungaji mwaka 1986 akianzia katika kanisa la KKKT USH ARIKA WA ...

ASKOFU MBEPERA EAGT AFARIKI DUNIA

Picha
       √√Kanisa la E VANGELISTIC ASSEMBLIES OF GOD ( TZ ) EAGT Limepokea kwa masikitiko kifo cha mchungaji kiongozi wa kanisa la EAGT Msasani jijini Dar es salaam PHILIBERT MBEPERA kilichotokea hiv i leo katika hospital ya Taifa Muhimbili .            Askof mbepera alilazwa hospitalini hapo mwezi mmoja uliopita katika wodi ya wagonjwa maututi ( ICU )         A skof mbepera moja kati ya wa chungaji wa kwanza wa kanisa la EAGT jijini Dar es salaam  Alizaliwa mnamo januari 1950.         √√√√ Hii ilikuwa habari fupi kuhusu kifo cha ASKOF MBEPERA mda si mrefu utaletewa habari kamili pamoja na historia yako          Endelea kufuatilia habari ndani ya GOSPEL STAR NEWS        © I meandali...

TUTALIPWA KUFANYA UZINDUZI MKUBWA DAR

Picha
   √Lebo ya kusaidia waimbaji chipukizi Tanzania ikijulikana kama" TUTALIPWA " inatarajiwa kuzinduliwa mna tar 8/4 mwaka huu jijini Dar es salaam        √√Akizungumzia uzinduzi huo msimamizi wa lebo hiyo na mwimbaji wa nyimbo za injili Shedrack sheria ameeleza kuwa uzinduzi huo mkubwa unatarajiwa kufanyika katika kanisa la SAFINA kigambani jijini Dar.        ....Aidha uzinduzi huo utapambwa na waimbaji mbalimbali wa nyimbo za injili nchini wakiwemo CHRISTOPHER MWAHANGIRA , TUMAIN NJOLE, BONIFACE MAGUPA , MCH. JOSHUA MAKONDEKO , SILAS MBISE , ANISET BUTAT , ENOCK JONAS, MJUKUU WA YESU NA WENGINE WENGI .        @ JOHN MWAKIPESILE © GOSPEL STAR NEWZ & MAGAZINE               0712688802 karibu utangaze nasi