ASKOFU MBEPERA EAGT AFARIKI DUNIA

       √√Kanisa la EVANGELISTIC ASSEMBLIES OF GOD (TZ ) EAGT Limepokea kwa masikitiko kifo cha mchungaji kiongozi wa kanisa la EAGT Msasani jijini Dar es salaam PHILIBERT MBEPERA kilichotokea hivi leo katika hospital ya Taifa Muhimbili.
           Askof mbepera alilazwa hospitalini hapo mwezi mmoja uliopita katika wodi ya wagonjwa maututi (ICU )

        Askof mbepera moja kati ya wachungaji wa kwanza wa kanisa la EAGT jijini Dar es salaam  Alizaliwa mnamo januari 1950.

        √√√√Hii ilikuwa habari fupi kuhusu kifo cha ASKOF MBEPERA mda si mrefu utaletewa habari kamili pamoja na historia yako
         Endelea kufuatilia habari ndani ya GOSPEL STAR NEWS

       ©Imeandaliwa na JOHN MWAKIPESILE
        @GOSPEL STAR NEWZ&MAGAZINE  DSM TZ
       0712688802 Tunapokea habari na kutangaza kwa gharama nafuu sanaa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SAMUEL MV BUKOBA KUZINDUA NANI ANIFUTE MACHOZI

NANI NI NANI? YOHANA MGAYA(MASANJA JUNIOR)

GOODLUCK GOZBERT AACHIA VIDEO HAUWEZI KUSHINDANA