MITIMINGI KUFUNDISHA SEMINA KUBWA MBEYA
}}}}}Mchungaji na kiongozi wa huduma ya The Voice of Hope Ministry(VHM) toka dar es salaam Peter mitimingi anatarajia kuwa na semina kubwa jijini mbeya itakayohusisha wanandoa,waliokwenye uchumba na wengine wanaotamani kuwa na ndoa.
>>>Semina hiyo inatarajiwa kufanyika 14/2mwaka huu yaani siku ya wapendanao ikiwa imeandaliwa na kituo cha redio BARAKA FM
Maoni
Chapisha Maoni