Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2018

GETRUDE MWASILE AJA NA"ONDOA JIWE"

Picha
}}}Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini kutoka jiji la mbeya GETRUDE MWASILE  ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la " ONDOA JIWE "            √√ Akizungumza na kituo hiki hivi karibuni Getrude ameeleza kuwa Albam hii kwasasa iko tayari katika mfumo wa Audio cd na tayari imeshazinduliwa na tayari iko sokoni         √√Albamu hii iliyobeba zinazofanya vizuri kwa sasa kama Uvumilivu , ondoa jiwe na Moyo wangu tulia zinapatikana pia mtandaoni kwa jina la Getrude mwasile         Pia Getrude yupo tayari kwa mihaliko akipatikana kanisa la EAGT MAKIMBILIO ( mbalizi ) kwa mchungaji ESILI MWASUNDA                                       Picha na. John mwakipesile (071...

COSTANTINO PIUS AACHIA VIDEO MPYA "VIWANGO VINGINE"

Picha
√√Mwimbaji wa nyimbo za injili na mtangazaji wa kituo cha redio wapo fm maarufu kama costantino pius aachia video yake mpya inayofanya vizuri katika muziki wa injili ikijulikana kam a ‘ ’’viwango vingine"     >>akizungumzia nyimbo hyo ambayo amemshirikisha mwimbaji wa nyimbo za injili anayefanya vizuri kitaifa na kimataifa christopha mwahangira amesema kuwa video hiyo kwa sasa iko tayari na watanzania waipokee kwa mikono miwili    >>Video hiyo inayofanya vizuri iliyotayarishwa na director mkongwe hapa nchini mbangwa hassan kwa sasa inapatikana youTube kwa jina la COSTANTINO PIUS FT.CHRISTOPHA MWAHANGIRA ~ VIWANGO VINGINE        Mungu hakubariki sana hakika utainuliwa viwango vingine

MITIMINGI KUFUNDISHA SEMINA KUBWA MBEYA

}}}}}Mchungaji na kiongozi wa huduma ya The Voice of Hope Ministry(VHM) toka dar es salaam Peter mitimingi anatarajia kuwa na semina kubwa jijini mbeya itakayohusisha wanandoa,waliokwenye uchumba na wengine wanaotamani kuwa na ndoa.          >>>Semina hiyo inatarajiwa kufanyika 14/2mwaka huu yaani siku ya wapendanao ikiwa imeandaliwa na kituo cha redio BARAKA FM

SAMUEL MV BUKOBA KUZINDUA NANI ANIFUTE MACHOZI

Picha
NA. John mwakipesile   DA R √√ Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini maarufu kama samuel mv bukoba mtoto aliyeokolewa kwenye ajali ya meri mv bukoba 1996 akiwa na umri wa miaka minne na kupoteza wazazi wake wote kwenye ajali hyo Anatarajia kuzindua Albam yake mpya inayokwenda kwa jina la " NANI ANIFUTE MACHOZI ? "         Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni samuel ameekeza kuwa Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika kanisa la KKKT USHARIKA WA SOKONI II jijini Arusha mnamo tarehe 22/4/2018