Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2018

MAJIBU 6 YA MASWALI KUHUSU MWIMBAJI JOHN MWAKIPESILE

Picha
Na: joseph misshey:MBEYA    ¶¶Ikiwa ni kipindi ambacho muziki WA injili unakuja kwa kasi sana na kupendwa na wengi kitaifa na kimataifa wiki hili nilipata nafasi ya kuzungumza na Mwimbaji anayefanya vizuri kwa sasa katika muziki WA injili maarufu kama JOHN MWAKIPESILE na hata ni moja ya maswali niliyoweza kumuuliza na kuskia majibu kutoka kwake.    SWALI:ulianza lini kuimba ?? JIBU:Yangu mdogo ila niliweza tambulika rasmi 2015 baada ya kutoa nyimbo moja iliyokwenda kwa Nina LA NJOO KWA YESU    SWALI:kwanini uliamua kuimba au nini kilichokusukuma kuwa Mwimbaji?? JIBU:Niliamua kuimba kama sehemu ya kumshukuru MUNGU kwa mengi aliyonitendea pia niliona kwa kuimba naweza kufikisha habari za mungu kwa watu wengi. SWALI:Unauonaje mziki WA injili WA sasa na WA kipindi kileee au zamani? JIBU:kwa bahati mbaya zamani sikuwepo wala kipindi kile sikuzaliwa labda ila kwa sasa naona muziki WA injili unakuja vizuri sana waimbaji wengi wameamka sana sana ...

JOHN MWAKIPESILE ATOA YA MOYONI KUHUSU MAISHA YAKE KIMUZIKI

Picha
MBEYA :     Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini maarufu kwa jina la John mwakipesile amefunguka rasmi kuhusu maisha yake kimuziki na kusema kuwa ana mpango wa kufanya kitu kikubwa katika tasnia hii ya muziki wa inji   >>Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni amesema wayu wakae tayari kuipokea Albam yake mpya inayokwenda kwa jina la NI KWA NEEMA iliyobeba nyimbo nzuri kama MAWAZO YA MUNGU,BILA SABABU,JIPE MOYO,WAMESHINDWA,YUMWEMA na nyingine

JOHN MWAKIPESILE AACHIA NYIMBO MBILI MPYA

Picha
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini tanzania maarufu kwa jina la JOHN MWAKIPESILE ameachia nyimbo mbili mya zinazofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa injil nyimbo hizo ni Mawazo ya Mungu pamoja na Bila sababu